Wednesday, October 31, 2012

Amber Rose Says Ne-Yo Rejected Her !!!

 
 
Who would have thought any man could reject the beautiful Amber Rose. Apparently, that very thing happened to Amber Rose just a few short years ago when she was auditioning for Ne-Yo’s “Miss Independent” video.

 
Looking back this should be incredibly hilarious, considering that the bald look that Amber auditioned with is now a popular look amongst women. One person who couldn’t deny Amber Rose was Wiz Khalifa. The two are expecting a son together
 

WAKAZI WA DAR WAFURAHIA USAFIRI WA GARI MOSHI


Bi. Rose Ngauga akizungumza  na mwandishi wetu aliyemtembea ofisini kwake kujua mawili matatu kuhusiana na usafiri huo.
WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, wamefurahia kuanza kwa usafiri wa treni waliousubiri kwa muda mrefu ulioanza juzi.
Abiria wakigombea kupanda treni kutoka katikati ya jiji kueleke Ubungo.
Kamera yetu leo ilitua katika ofisi ya mkuu wa kituo kinachodili na usafiri huo, Bi. Rose Ngauga na kuzungumza mambo kadhaa kuhusiana na usafiri huo.Ngauga alisema kuwa usafiri huo siyo nguvu ya soda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu na kwamba utakuwa endelevu.

3. ….akimuonyesha  mwandishi wetu tiketi zinazotumika  kwa abiria wa kawaida  na wanafunzi.

4. Abiria wakiwa katika dirisha la kukatia tiketi.

5. Wanafunzi wakikata tiketi katika dirisha maalumu kwa ajili yao.

6. Kichwa cha treni kikiunganishwa na mabehewa kabla ya kuanza safari.

8. Abiria wakiwa wameketi ndani ya behewa wakisubiri kuanza safari.

9. Mkuu wa Kituo cha Reli, Bi. Rose Ngauga akikagua mabehewa kabla ya gari moshi kuanza safari leo saa 9.40 alasiri.
10…. akikabidhiwa ripoti.
11.Wanafunzi wakipanda katika behewa lao maalumu tayari kwa safari.
12. Gari moshi likiwa katika mwendo na baadhi ya abiria wakionekana wakichati na simu.
13. Mwandishi mwanadamizi wa Global Publisher, Haruni Sanchawa  akishuka kutoka katika treni hiyo  maeneo ya Ubungo Maziwa ambako treni hiyo umalizia safari yake.
14. Abiria wakishuka kwenye treni.
15. Pamoja na usafiri huo kuanza, mafundi wa shirika la reli bado wanaendelea na ukarabati  wa reli kama wanavyoonekana pichani.

(HABARI PICHA : Haruni Sanchawa / GPL )

"NIMECHOKA KUTAPELIWA KIMAPENZI NA SIHITAJI KULIA TENA"....JACK WOLPER



Wapambe kadhaa wa msanii Jackline Wolper wamelonga na mwandishi wetu  kuwa, hivi sasa Wolper haitaji kulia tena kwenye mapenzi hivyo amepanga mwanaume ambaye atamtangaza muda wowote basi watu wajue kuwa ndiye mume kabisa kwani haitaji tena kuumizwa.



Wapambe hao ambao mara nyingi huwa karibu na msanii huyo, walifunguka kuwa kwa sasa msanii huyo hana mwanaume na endapo akimpata basi ataamua kufanya hivyo ili kuzuia matatizo mengine yanayoweza kutokea kama kuibiwa na watoto wenyewe njaa kali wanajifanya wamesomea mapenzi. Hata hivyo walidai kuwa kingine ambacho msanii huyo hataki kukosea tena ni kumtangaza mpenzi wake kwa mademu wa bongo movie kwani wanahusika mara kadhaa kwa kuharibu mapenzi yake kwani hawakawii kufanya mapinduzi. 

“Ishu iko hivyo mjini hapa kila mtu ana mipango lakini kwa upande wa mwanadada Wolper mambo yako hivyo na hataki kupoteza muda kwa sababu mademu wa tasnia hiyo wana tabia ya kumzoea mtu kwa dakika kadhaa baada ya hapo kwisha habari wanaondoka mwanaume kama hawana akili nzuri,”

 alisema mpambe.Hata hivyo mwandishi wa habari hizi alimtafuta Wolper ili kutoa la moyoni naye alidai kuwa lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja hivyo anachopanga sasa anaamini kitatimia kwani amechoka na wezi wa mapenzi ambao mwisho wa siku wanaachana kwa vita na maneno ya kudhalauliana

"UGONJWA WA VENGU HAUWEZI KUNIFANYA NIMUACHE AU NIMSALITI"....STELLA MBUNGE



MISS Kinondoni 2009, Stella Mbuge amefunguka kuwa ugonjwa wa mpenzi wake Joseph Shamba ‘Vengu’, memba wa Orijino Komedi si sababu ya kumuacha na kuhangaika na wanaume wengine.


Akipiga stori na mpekuzi , Stella alisema, anatambua kuugua ni sehemu ya maisha na jambo kubwa kwa sasa ni kumuombea mpenzi wake huyo apone haraka na kuendelea na maisha yao kama kawaida.

 “Vengu ana thamani kubwa kwangu, siwezi kumuacha wala kumsaliti. Ndugu zake wananipenda na kunipa ushirikiano mzuri. Nashukuru anaendelea vizuri na ninaamini siku si nyingi atarudi kazini,” alisema Stella.

TAFAKARI KATUNI YA LEO...



Kipanya

Tuesday, October 30, 2012

SEND OFF YA AUNT EZEKIEL



Cloud akiwa na Bibi Harusi Aunt wakipata picha ya kumbukumbu..

 Ndani ya SERENA akisubiriwa Bi Harusi awasili ndani ya ukumbi.

 Bi Harusi(Aunt) akiwa ndio anawasili ndani ya ukumbi huo kwa mbwembwe kubwa sana.

 Bi Harusi akiwa tayari akiwa amefika sehemu yake maalum iliyoandaliwa kwa ajili yake huku akiwa kazungukwa na wapambe wake

 Flowersssssss

 Wema na Jack Wolper

 Davina (wa kwanza kushoto) Cath Rupia (wa katikati) na Mama Eriethy

 Maya na Chuchu Hans.....

 Odama

 Mr na Mrs Cloud...............

 Ulifika muda wa kwenda kukabidhi keki kwa wazazi.....

 Akikabidhi keki kwa wazazi wake kwa adabu kubwa sana....

 Akiwa ameongozana na shemeji yake kwenda kupata chakula.

 Aunt akiwa kwenye vazi jengine kwa ajili ya siku yake ya kuzaliwa. 

 Maandalizi yakifanyika..

 Ratiba ya kukakata ndafu ikiendelea!

 Mmependeza.....

 Wema akiwakilisha wananawake wa Bongo Movie kwa kula ndafu....

 Cloud pia akiwaakilisha wanaume wa Bongo Movie.....

 Ulifika mda wa burudani ...

 Wachaa we.......

 Batuli akitoa show....


 Mambo yakipamba moto..

 Recho Saguda wacha weee..
 Burudani ikiendelea..

 Maya hayuko nyuma naye...

 Mainda..

 JB

Steve Nyerere..

The Greatest