Monday, April 30, 2012

VIJANA VYUO VYA ELIMU YA JUU WATINGA CCM KUFIKISHA UJUMBE WAO KUHUSU MAFISADI

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwapokea Vijana wa Shirikisho la Vijana wa CCM walioko vyuo vya Elimu ya Juu, walipofika kwenye ofisi za Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo kuonana naye ili kufikisha msimamo wao kuhusu Mawaziri na Maofisa wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika na upotevu wa fedha za umma. Vijana hao walookuwa na mabango yenye ujumbe mbali mbali pamoja na mambo mengine wamemuomba Rais Kikwete awachukulie hatua wahusika wote kwa kuwaondoa kabisa kwenye nafasi zao na si kuwahamishia kwingineko na kisha wachukuliwe hatua za kisheria, Kauli ambayo Nape aliwaunga mkono akiahidi kufikisha ujumbe huo kwa Rais Kikwete.
Nape akizungumza na Vijana hao
Nape akisoma ujumbe kwenue moja ya mabango waliyofika nayo vijana hao
Kisha akasoma na mango hili
Vijana wakionyesha moja ya mabango waliyofika nayo
Na hili likieleza maana ya Mapinduzi
Hili likawataka ‘magamba’ wanaoondoka CCM wazidi kutimka.
Chanzo:http://bashir-nkoromo.blogspot.com/

Sunday, April 29, 2012

MOVIE TIME: MAN ON A LEDGE



Title:Man on a Ledge

Genre:
Crime/Thriller

Directed by:
Asger Leth

Starring:
Sam Worthington, Elizabeth Banks, Anthony Mackie, Jamie Bell, Ed Harris, Edward Burns, Genesis Rodriguez

Release date:
Fri 13, Jan 2012


 
Plot:
“From the ledge of the 25th floor of a NYC skyscraper, where one wrong step means death, a cornered Nick Cassidy (Sam Worthington) must orchestrate a dangerous plan to prove his innocence for a crime he didn’t commit.”
“An ex-cop (Sam Worthington) now wanted fugitive threatens to jump to his death from a Manhattan hotel rooftop. The nearest New York Police officer immediately responds to a screaming woman and calls dispatch. More Officers arrive with SWAT and tactical command along with fire-fighters. The police then dispatches a female police psychologist personally requested to talk him down from the ledge. However, things aren’t as straightforward and clear cut as they appear to be....,

Man On A Ledge Trailer

                                                                                               



TAMKO RASMI KUHUSU SHUTUMA DHIDI YANGU JUU YA KIFO CHA KANUMBA

Yapata wiki tatu sasa tangu msanii mwenzangu Steven Kanumba aage dunia, na kama ilivyo kwa kila kitu kinapotokea huandamana na kila aina ya maneno na hisia mbali mbali kutokana na mitazamo ya watu kupishana kuhusiana na jambo husika. Kulingana na muktadha huo, msiba wa Steven Kanumba umekumbwa na maneno na hisia kama hizo, hususan mazingira ya kifo chake; kinachosikitisha zaidi watu wengi (ambao wanajitambulisha kama wapenzi wa Kanumba), na baadhi ya vyombo binafsi vya habari vimekuwa vikinihusisha na kifo hicho, kwa kusema kwamba kwa njia moja au nyingine ninahusika na mauaji ya Steven Kanumba. Kwa muda wote huo tangu msiba ulipotokea mpaka leo hii nashika kalamu kujaribu kuyaweka sawa na kuondosha hisia chafu katika fikra za watu, nimekuwa nikipitia katika wakati mgumu sana kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikinyooshewa vidole kila upande nikihusishwa na kifo hicho, kiujumla nimezingatia maoni ya wapenzi ya mashabiki wangu wakinitaka kuwa na subira, ila kuna ukweli usemao kwamba, uongo ukirudiwa sana jamii huusadiki na kuuona ukweli, nimeona nisikae kimya ila niweke sawa hili kwamba sihusiki na kifo cha Steven Kanumba.
Nasema wazi kwanza sihusiki kabisa na kifo cha Kanumba kwanza kwa kuzingatia mazingira yenyewe ya kifo kilivyotokea. Wakati kifo hicho kinatokea, nilikuwa sehemu nyingine kabisa na mimi nilikuwa mtu wa tatu kutaarifiwa kwamba Kanumba amepatwa na mkasa ambao baadae ulisababisha kifo chake. Na na hata nilipofika katika hospitali ya Muhimbili (tofauti na watu wanavyodhani kuwa nilifika nyumbani kwake; ukweli mimi nilimkuta tayari amepelekwa Muhimbili), nilikuta tayari alikuwa ameshafariki ndio maana hata Polisi wanaohusika na usalama wa raia, si tu kwamba hawakuniweka chini ya ulinzi, sikuitwa hata kuhojiwa kwa sababu hakuna mazingira yoyote yanayonihusisha mimi na kifo hicho.
Pili, watu wanahusisha tofauti za kibinadamu zilizokuwepo baina yetu na kifo hicho, nasema hii sio sahihi kwa sababu kwanza ni kawaida kwa binadamu kutofautiana, isipokuwa kwetu sisi baadhi ya vyombo vya habari vilikuwa vinakuza kwa sababu nisizozijua, hivyo jamii ikachukulia kuwa tofauti zile ni uadui kitu ambacho sio sahihi, kwani sisi hatukuwa watu pekee tunaotofautiana kwani huu ni mwenendo wa kawaida wa dunia; hivi jana tumeshuhudia Waziri mmoja akieleza bayana katika mkutano na waandishi wa habari kuwa na tofauti na naibu wake, lakini hatuajasikia ikiandikwa wana ‘bifu’ bali imetafutwa lugha nzuri ya kupamba tofauti hizo, kwa kuwa waliohusika ni waheshimiwa, ila kwa wengine kutokana na sababu tusizozijua, inaonekana kama ni haki yetu kuandikwa vibaya. Kinachosikitisha, kwa nini jambo hili linachukuliwa kwa mkazo mkubwa sana, kwani hatujawahi kusikia watu wakiwa wanatofautiana na ndugu jamaa hata na marafiki zao na inaonekana kawaida tu? Kwani vyombo vya habari havikuwahi kuandika kuwa marehemu Steven Kanumba alikuwa na tofauti na baba yake, na yeye mwenyewe alitamka hivyo katika vyombo vya habari, mbona wameliongea bila kuongeza chumvi, na jamii inaona kuwa ni jambo la kawaida la kibinadamu.
Pengine watu wanaojaribu kuongea hayo, hawajui mimi na Steven Kanumba tumetoka wapi? Sisi si watu tuliokutana barabarani, tuna historia katika kazi yetu ya sanaa na pia katika maisha maisha yetu. Mwanzoni kabisa, mimi ndiye niliyempokea Kanumba pale Kaole na ndiye niliyemfundisha sanaa pale (nadhani watu wanakumbuka tamthiliya za wakati huo ITV) na baada ya hapo tulienda pamoja katika kampuni ya Game 1st Quality pamoja na tukafanya filamu kama Johari, Sikitiko Langu, Dangerous Disire na nyinginezo, na tuliendelea kuwa pamoja katika kampuni hiyo mpaka tulipofanya filamu ya Oprah mwaka 2008 ambapo niliingia rasmi kufanya kazi za kampuni yangu, lakini tuliendelea kuwa pamoja hata wakati nikiendelea na kazi za kampuni yangu. Pia mimi nilikuwa wa kwanza kuanza kufanya kazi na Steps na baadae Kanumba alipoanza kufanya kazi zake mwenyewe na kunikuta huko tuliendelea kuwa pamoja kama siku zote. Kitu kikubwa kilichokuwa kinaendelea baina yetu, ni kwamba tulijenga ushindani wa kuendeleza kazi mbele kwa kila mmoja akitoa kazi, mwingine anamjibu, Isitoshe hata vitu vyetu binafsi utaona kama kuna kufanana; kuna wakati Kanumba alinunua Toyota Ruv 4 nyeusi mimi nikanunua ya kijani, aliponunua Harrier na mimi nikanunua pia, na hata gari za hivi karibuni, ukitazama utaona kuwa zinafana kwa karibu; hii ilikuwa ni kama maisha yetu, hatukuwa na uadui, ilikuwa tunapeana changamoto za maendeleo.
Watu wanaojaribu kuonesha kuwa tofauti zetu ilikuwa ni uadui, huwa hawajui wapi tulikotoka ndio maana wanasema wasemavyo na katika kuthibitisha kuwa tofauti hizo hazikufikia katika uadui, kuna watu ambao wanafanya kazi nami katika kampuni yangu ya RJ ndio hao hao Kanumba alikuwa anawatumia siku zote katika kazi zake, hata baada ya tofauti hizo hakuna aliyekoma kufanya kazi na yeyote kati yetu. Hii inathibitisha kuwa tofauti ilikuwa kati yetu kama binadamu, sio chuki za kimafanikio, ingekuwa hivyo watu kama Junior Syaary ambaye mara nyingi hufanya final editing katika RJ ndio huyo huyo alikuwa akifanya na Kanumba, Ally Yakuti ambaye anaandika script za RJ, ndiye huyo huyo aliyekuwa anaandika kwa Kanumba, Steven Shoo ambaye ni mtaalamu wangu wa light, ndiye huyo huyo anayetumiwa na Kanumba na wengine wengi kama Juma Chikoka aliyecheza kikamilifu katika filamu ya kijiji cha Tambua Haki, ambaye pia anashiriki filamu nyingi za RJ, na wote hao, hawakuanzia kwa Kanumba, wote wameanza kwangu mimi ndio niliompatia na hata baada ya hayo yanayosemwa kuwa kuwa ni uadui, sikuwahi kuwakataza kufanya kazi na Kanumba.
Tatu kumtuhumu mtu kwa namna yoyote ile bila ya uthibitisho wa tuhuma hizo, ni kosa kwa sheria za nchi na pia kama ni mfuasi wa dini yoyote ni dhambi, kwani wakati ukisema hayo huku hujui uhalisia bali unasukumwa na nguvu za hisia tu ni sawa na kumchafua mtu huyo katika jamii bila ya kujua jamii inamchukuliaje. Napenda kusema wazi wazi kuwa, kwa kila anayetekwa na wimbi hili, ajaribu kufikiria leo ipo kwangu mimi, kesho inaweza kuhamia kwako, kwani mimi sio wa kwanza kufikwa na haya, inaweza kukukuta hata wewe au ndugu yako, utajisikiaje. Na kama kweli mimi nimehusika na kifo cha Kanumba kwa namna yoyote ile, basi Mungu atanihukumu na kila aliye hai atashuhudia, ila kama sijahusika kwa lolote, Mungu hatonihukumu na badala yake ataniinua, kwa kuwa ninapita katika kipindi kigumu mno sasa hivi kwa madhila haya.
Mwisho kabisa napenda kumaliza kwa msemo usemao, ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke, kwani kadri mambo haya yanavyoendelea, usidhani yataishia kwangu, kwani mkono wa dhuluma haushii karibu, ukisikia jirani anapiga kelele za mwizi, usilale kamsaidie, usiseme kuwa hatuhusiki kwani hayupo kwetu, kesho utafikwa na wewe utakosa wa kukusaidia. cha msingi kama tunampenda sana ndugu yetu ni kumuombea kwa Mungu, kwani hatujui makao yake huko aliko, na sio kuunda vitu ambavyo kamwe hata yeye angekuwa hai asingeviafiki.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA MAHALI
PEMAPEPONI
MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA

A Creed To Live By

 
Don't undermine your worth by comparing
yourself with others.
It is because we are different that each of us is special.
Don't set your goals by what other people
deem important.
 
Only you know what is best for you.
Don't take for granted the things closest to your heart.
Cling to them as you would your life, for without them
life is meaningless.

Don't let your life slip through your fingers
by living in the past or for the future.
By living your life one day at a time,
you live all the days of your life.
 
Don't give up when you still have something to give.
Nothing is really over until the moment you stop trying.
Don't be afraid to admit that you are less than perfect.
It is this fragile thread that binds us to each other.

Don't be afraid to encounter risks.
It is by taking chances that we learn how to be brave.
Don't shut love out of your life by saying it's impossible to find.
The quickest way to receive love is to give love.
The fastest way to lose love is to hold it too tightly;
and the best way to keep love is to give it wings.

Don't dismiss your dreams.To be without dreams is to be without hope;
to be without hope is to be without purpose.
Don't run through life so fast that you forget
not only where you've been, but also where you're going.
Life is not a race, but a journey to be savored
each step of the way.
~ Nancye Sims ~

SHOES: TRENDS IN HIGH HEELS


Saturday, April 28, 2012

THOUGHT OF THE DAY

I BELIEVE

Man Was Designed For Accomplishment,

Engeneered For Success,

And Endowed With the Seeds Of Greatness

By Zig Ziglar

Thursday, April 26, 2012

Beyonce Knowles Dubbed 2012 World's Most Beautiful Woman by People Magazine


PEOPLE has picked its world's most beautiful woman for 2012, and Beyonce Knowles is topping the list. Featured on the special double issue cover of the magazine in a white dress and turqouise jewelry, the 16-time Grammy winner claims, "I feel more beautiful than I've ever felt because I've given birth."

The songstress wife of
Jay-Z elaborated, "I have never felt so connected, never felt like I had such a sense of purpose on this earth." Having welcomed daughter Blue Ivy Carter on January 7, she gushed, "The best thing about having a daughter is having a true legacy. The word 'love' means something completely different now."
While this is not the first time Beyonce made it into the list, PEOPLE's editor Janet Mock noted on her Twitter account that it's the "first time in 9 years that a black woman lands this coveted cover." Last year, the title of Most Beautiful Woman went to a Latina with the crowning of "
American Idol" judge Jennifer Lopez.
The "
Modern Family" star insisted that she's "not ashamed" of being considered a bombshell because she believes "it has opened doors" for her. She added with a laugh, "I am on these lists for 'best ass' or 'most beautiful' with women like Mila Kunis, who's, like, 20 years old. I have a son that age!"
  
© AceShowbiz.com

Tuesday, April 24, 2012

ENTREPRENEURSHIP: How to Raise Start-up Capital for Small Business.


It’s time to zero in on a comprehensive list of alternative sources of small business start-up capital.

1. Personal Savings. If you dream of running your own business, then start setting aside personal savings. It's important to understand that any kind of business involves risks. Hence, aside from the start up capital, it's best to have personal funds that can support you and your family in case the business does not go as well as expected.

2. Sell Assets. Another way to save business funds is to do some selling. For example, if you have an old car or other valuable assets that is worth a considerable amount of money, then selling is another smart strategy.

3. Get a second job. To save up more quickly, you may try to apply for a second job for extra income. If you set aside the earnings from your second job, you can build up your business fund at a much sooner time.

4. Apply for a personal Loan. Another way to raise a start up capital is to apply for a personal loan. Many lending companies offer personal loans which can be used for many different reasons such as for starting a business. Apart from commercial lenders, you can also inquire from credit unions or microfinance institutions for possible unsecured personal loan programs that you can get.

5. Apply For A Bank Loan. You can also apply for a small business loan from your local bank but you need to make sure that you are prepared to avoid unnecessary delays or rejection. It is worth noting that banks in general are more strict especially when reviewing new business loan applications.

6. Check out Government Programs. Don't forget to check the U.S. Small Business Administration (SBA) for possible loan programs that matches your business. If you are having trouble getting approved for a small business loan from a private lender, the SBA can assist you by guaranteeing your loan.

7. Seek help from angels. Angel investors can be individuals or a private group who would be interested in investing in your small business. Once you have found a prospective angel investor, it's important to present an impressive business plan to show that your business has a very strong potential to survive the market.

8. Apply for a business credit card. Applying for a credit card that is really designed for business can provide the much-needed support especially if you are working on a limited budget. Once approved, you can charge expenses or purchases to your business credit card and pay for them at a later time. That should give you the chance to produce and sell your products as you try to stretch your cash flow. Business credit cards are also great tools for building credit history for your small business which will make it easier for you to get approved for larger financing from banks and lending companies.

Other sources of start-up capital include cooperative partnerships, and venture capitalists. Many small businesses are looking for even more innovative ways to finance their small businesses, and with luck will find one
Global B2B buy sell marketplace: http://www.bytrade.com

LULU AKIPELEKWA KIZIMBANI

Msanii wa muvi za bongo , (katikati ya maaskari mwenye dira la pink) anayesemekana anahusika ama kujua sababu ya kifo cha msanii mwenzake Steven Kanumba aliefariki April 7 mwaka huu katika mazingira ya kutatanisha, amefikishwa mahakamani leo hii 23 April saa nne asubuhi jijini Dar es Saalam. Alisomewa mashitaka hayo ila hakutakiwa kujibu lolote na baada ya hapo alirudishwa Lupango mpaka May 7, kesi yake itakaposomwa tena.

KANYE & KIM KARDASHIAN ARE AT IT AGAIN! Are They Believable?



Kanye West & Kim Kardashian were snapped strolling through New York City this past weekend as the ‘new happy couple’. A successful man like Kanye probably wants a Beyonce to his Jay, a Victoria to his Dave or a Jada to his Will but could Kim really be it?
I’m definitely not buying this fauxmance but get your money Kim!
If you are wondering why an A-list rapper like Kanye and a reality-tv star who’s been in and out of at least 4 public relationships over the past 5-6 years and is fresh off of a 72 day marriage-gone-wrong would even hook up, Elizabeth Currid-Halkett, author of Starstruck: The Business of Celebrity, broke it down for the Washington Post:
For a star with no obvious talent, Currid-Halkett said, “it becomes increasingly important to create the narrative arc around romance.
” Stars such as Angelina Jolie at or Michelle Williams at least have movies to sell — “we don’t need to care about them as people because we care about their talent” — but Kardashian’s “entire business relies on the public being interested in her.”
But — what about West? He’s got talent; he sells music. Yes, Currid-Halkett said, but his persona is “all about antics. His music is always tongue-in-cheek.”
She mulled it a bit more. “He may be someone who needs attention,” she theorized. “You know, I’m not in his head.”
Aside from the obvious, at least they do have a lot in common. USA Today notes that they are both Fashion Fanatics, Limelight lovers and they both have bad luck in love. Looks like a match made in media heaven.
Kris is somewhere smiling and planning another wedding special..


Read more: USA Today

Monday, April 23, 2012

WOULD YOU WEAR THESE??

JACOB ZUMA CELEBRATES SIXTH WEDDING!!!!

 

His third in just over four years. He has 21 children.

South Africa's polygamous President Jacob Zuma on Saturday celebrated his sixth wedding in a second day of weekend festivities filled with traditional Zulu culture.
The 70-year-old formalised his relationship with long-time fiance Bongi Ngema on Friday with Zulu song and dance while dressed in leopard skins and carrying a shield surrounded by men in similar warrior attire.

The businesswoman became Zuma's fourth wife in Nkandla, deep in the KwaZulu-Natal countryside, where on Saturday she handed presents to Zuma's family at his homestead in a gift ceremony.
Friday afternoon's tying of the knot was followed by a glitzy western-style evening reception with a tiered cake where the couple donned formal wear in a marquee erected on the grounds of a local school.

The couple have a seven-year-old son and Ngema joins Zuma's three other wives to become one of four first ladies with all spouses attending the marriage.
The wedding is his third in just over four years and the second since coming to power in 2009 as the country's first president with multiple wives.
In all, he has married six times and has 21 children. One of his wives has died, and another -- home affairs minister Nkosazana Dlamini-Zuma -- divorced him.

The wives have no specific roles or responsibilities but their benefits include travel and secretaries and they are expected to support the president at state and official functions, with Ngema accompanying him to France last year.
With debate over his growing family after news of the nuptials broke last weekend, Zuma's office has said he would foot the wedding bill and that Ngema was already part of the president's spousal budget.
This comes after the state had to nearly double the spousal budget to more than two million dollars after he took office with his large family.
While legally recognised, polygamy is becoming less popular in South Africa where modernity and Western lifestyles have taken root.
A survey in 2010 found that nearly three-fourths of South Africans disapprove of polygamy. Among women, 83 percent disapproved.

Source:moneyweb

Sunday, April 22, 2012

JACQUELINE WOLPER ABADILI DINI SASA ANAITWA ILHAM



Msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper amebadili dini na kuwa Muislam baada ya kuchumbiwa na kununuliwa gari la kifahari na mwanaume anayeitwa Dulla au Dallas, Ijumaa linakupa habari hii kwa undani zaidi.
Kwa mujibu wa habari zilizotua katika meza yetu na kuthibitishwa na msanii huyo, Wolper amebadili dini katika Msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni jijini Dar na sasa atakuwa akitambulika kwa majina ya Ilham Wolper Dallas.
“Ni kweli nimebadili dini wiki mbili zilizopita baada kumpata mchumba ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni,” alisema Wolper.
Aidha, msanii huyo amesema kuwa amefikia uamuzi huo baada ya kumchunguza kwa muda mrefu mchumba wake huyo na kugundua kuwa ana nia nzuri kwa upande wake hivyo kukubali kumfuata katika dini yake.
Pia, Wolper amesema kuwa yeye na mchumba wake huyo wameshaanza kufanya taratibu za kupata baraka za wazazi wa pande zote mbili ili kuweza kufanikisha azma yao ya kufunga ndoa.
“Dallas ameshafika kwa wazazi wangu na hata mimi nimeshaenda kutambulishwa kwao, kilichobaki ni kufunga ndoa tu,” alisema

Wolper kwa kujiamini.
Baada ya Wolper kubadili dini na kukubaliana na mchumba wake kufunga ndoa, mwanaume huyo alijikunja na kumnunulia msanii huyo gari la kifahari aina ya BMW X6 ambalo anatanua nalo mitaani hivi sasa.

Monday, April 16, 2012

HAWA NDO WASHINDI WA KILI MUSIC AWARDS 2012


1. WIMBO BORA WA RAGGAE.
-ARUSHA GOLD BY WARRIORS FROM EAST.

2. WIMBO BORA WA DANCE HALL.
- MANENO MANENO BY QUEEN DARLIN.

3. WIMBO BORA WA ZOUK RHUMBA.
- DUSHELELE BY ALI KIBA.

4.BORA WENYE VIONJO VYA KIASILI.
- VIFUU UTUNDU BY A.T-

5. WIMBO BORA WA TAARABU.
- NANI KAMA MAMA BY MASHAUZI CLASSIC ( AISHA MASHAUZI).

6. WIMBO BORA WA KISWAHILI.
- DUNIA DARAJA BY TWANGA PEPETA-

7. WIMBO BORA WA AFRO POP.
- HAKUNAGA BY SUMA LEE-

8. WIMBO BORA WA R&B.
- NUMBER ONE FAN BY BEN PAUL-

9. WIMBO BORA WA HIP HOP.
- MATHEMATICS BY ROMA-

10. MSANII BORA ANAECHIPUKIA.
- OMMY DIMPOZ (NAI NAI SINGER).

11. RAPA BORA WA BAND.
- KALIJO KITOKOLOLO-

12. MSANII BORA WA HIP HOP.
- ROMA MKATOLIKI-

13. WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHWA.
 - NAI NAI BY OMMY DIMPOZ FT. ALI KIBA-

14. WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI.
-KIGEUGEU BY JAGUAR-

15. MTUMBWIZAJI BORA WA KIKE.
- KHADIJA KOPA-

17. MTUNZI BORA WA MWAKA.
    - DIAMOND-

16. MTUMBWIZAJI BORA WA KIUME
- DIAMOND-

18. MTAYARISHAJI BORA WA MAPIGO YA MUZIKI.
- MANEKE-

19. VIDEO BORA YA MWAKA.
- MAWAZO BY DIAMOND-

20. WIMBO BORA WA MWAKA.
- HAKUNAGA BY SUMA LEE-

21. HALL OF FAME.
     -  TAASISI JKT-

22. HALL OF FAME KWA MTU BINAFSI.
      - KING KIKII-

23. HALL OF FAME KWA MTU BINAFSI.
     - DR. REMMY ONGALA-

24. MWIMBAJI BORA WA KIKE.
     - LADY JAY DEE-

25. MWIMBAJI BORA WA KIUME.
      - BARNABA-

KILI MUSIC AWARDS!!


MILLARD AYO AND VANESSA MDEE..,
DIAMOND PLATINUMZ WITH OMMY DIMPOZ,,,,
ROMA FOR THE BEST HIP-HOP ARTIST!!
OMMY DIMPOZ FOR THE NEW UPCOMING ARTIST!!
ISHA MASHAUZI...,
LUIZA MBUTU FOR THE BEST SONG FROM THE GROUP AFRICAN STARS TWANGA PEPETA..,
ALLYKIBA..,
KHADIJA KOPA ONSTAGE..,
DIAMOND TOOK HOME 3 AWARDS AND HE WAS NOMINATED FOR SEVEN!!
QUEEN DARLENE WAS SOOO HAPPY FOR WINNING BEST DANCEHALL TRACK!!
TIP TOP CONNECTIONS BOSS BABU TALEH TOOK HOME 2 AWARDS FOR THE ARTIST SUMA LEE..,
COMEDIANS KING MAJUTI ALONGSIDE SHARO MILLIONEA..,
OMMY DIMPOZ,DIAMOND PLATINUMS AND KHALID CHOKORAA ONSTAGE..,
AMINI,CHRLES BABA AND BARNABAS ONSTAGE,,,
QUEEN DARLENE..,
DAYNA..,
SARAHA,,.
RECHO..,
FRANK GONGA AND HIS GIRL ALONGSIDE AISHA ON THE RIGHT..,RIO PAUL,, YOU WERE FLAWLESS...,
DINA MARIOS AND ASMA MAKAU..,
H BABA WITH HIS COMPANY..,
JAYMOE AND PRODUCER P-FUNK..,
KELVIN TWISSA..,
STEVEN NYERERE,BARAKA SHELUKINDO,FRANK GONGA WITH SAMIYA HIS LADY!!
I SEE YOU ASIA IDORUS AND TAJI LIUNDI..,
PRODUCER PANCHO IN THE BLONDE AND IZZO BUSINESS IN RED AND BLUE..,
PICHA ZOTE KWA HISANI YA MICHUZI AND FULL SHANGWE