Saturday, July 28, 2012

'I would knock her teeth out if she spoke to me like that': Jackson family friend Gladys Knight lashes out at Paris for mouthing off at aunt Janet


Gladys Knight has weighed into the Jackson family feud - insinuating 14-year-old Paris needs to pipe down and learn some respect for her elders.
The 68-year-old soul singer - who is a friend of the famous clan - said she would have knocked the teen's teeth out if she had spoken to her like she did to Janet during Monday's altercation at the Calabasas compound.
Paris is said to have had an explosive argument with her 46-year-old aunt Janet on Monday as tensions heightened over matriarch Katherine's whereabouts.
Old fashioned approach: Gladys Knight appeared on CBS's The Talk this morning, saying she was appalled at the way Paris spoke to aunt Janet during a row at the Jackson house this week
Old fashioned approach: Gladys Knight appeared on CBS's The Talk this morning, saying she was appalled at the way Paris spoke to aunt Janet during a row at the Jackson house this week
Janet apparently called Paris a 'spoiled little b****' while Paris shot back: 'This is our house. Not the Jackson family house. Get the f*** out!' 
Now Gladys - known as The Empress of Soul - has made her loyalties clear.
Speaking on U.S. daytime show The Talk, she fumed: 'You've got to understand Paris is 14? How old is Janet? Who's the one to try to direct the other one here? I would think it's a good thing [Janet] lets Paris know who she is.'
She went on: '[Janet] is just trying to protect her in a way. But if she [Paris] called me that she would have no teeth.'
Show some respect: The soul singer said Paris should not talk badly to her elders
Show some respect: The soul singer said Paris should not talk badly to her elders
Show some respect: The soul singer said Paris should not talk badly to her elders
Forthright: Knight said she would have knocked out Paris' teeth if she had spoken rudely to her
Forthright: Knight said she would have knocked out Paris' teeth if she had spoken rudely to her
Gladys earlier explained: 'I was raised in the southern way,' adding later in the interview: 'That's the way we were brought up. You respect your elders.'
The interview comes as Michael Jackson's mother Katherine and her nephew TJ Jackson are both expected to file court documents this morning to share custody of Jacko's three children, Prince, Paris and Blanket.
The pair met last night in the company of lawyers to hash out an agreement over the care of the siblings, aged 10 to 15.
A judge granted Tito Jackson's son TJ temporary guardianship on Wednesday, citing concerns that Katherine was being prevented from fulfilling her role as guardian 'by a third party' following her days-long absence from the California home she shares with the children.
Feud: Paris remonstrates with Janet at the Jackson Calabasas compound earlier this week. Janet called Paris a 'spoiled little b****' while Paris shot back: 'This is our house. Not the Jackson family house. Get the f*** out!'
Feud: Paris remonstrates with Janet at the Jackson Calabasas compound earlier this week. Janet called Paris a 'spoiled little b****' while Paris shot back: 'This is our house. Not the Jackson family house. Get the f*** out!'
Drama: The Jackson family feud has reached boiling point this week after matriarch Katherine went AWOL
Drama: The Jackson family feud has reached boiling point this week after matriarch Katherine went AWOL
Drama: The Jackson family feud has reached boiling point this week after matriarch Katherine went AWOL


                                   Source: http://www.dailymail.co.uk/tvshowbiz/article-2179974/Gladys-Knight-lashes-Paris-mouthing-aunt-Janet.html#ixzz21uVWXjdq

Thursday, July 26, 2012

MAANDAMANO YA JOSE CHAMELEONE KUDAI PASSPORT YAKE KWA ERIC SHIGONGO.

Hapa ni kwenye ubalozi wa Tanzania Uganda



Wajue Wanawake 5 shupavu Afrika



Ellen Johnson-Sirleaf, rais wa Liberia ana umri wa miaka, 72 na alitajwa kama mshindi wa tatu wa tuzo ya Amani ya Nobel mwaka 2011. Tuzo hiyo imetolewa miaka sita baada ya yeye kuchaguliwa rais wa Liberia na kumfanya kuwa rais wa kwanza mwanamke barani Afrika.



Joyce Banda, rais wa Malawi. Bi Banda mwenye umri wa miaka 62, amefanya jambo la kihistoria kwa kuwa rais wa kwanza mwanamke nchini humo. Pia yeye ni mwanamke wa pili kuongoza nchi ya ya kiafrika. Anaheshimika kama mwanaharakati wa haki za wanawake.

 

Nkosazana Dlamini-Zuma, Mwenyekiti wa Tume ya Muungano wa Afrika. Alichaguliwa tarehe kumi na tano mwezi Julai baada ya kinyang'anyiro kikali kati yake na mwenyekiti wa zamani Jean Ping. Bi Dlamini-Zuma, mwenye umri wa miaka 63, ni mwanamke wa kwanza kuwahi kushikilia wadhifa huo.



Ngozi Okonjo-Iweala, Waziri wa fedha wa Nigeria. Bi Okonjo-Iweala, mwenye umri wa miaka 58, ameshikilia nyadhifa mbalimbali za kimataifa, katika sekta ya fedha .Aliheshimika sana wakati akiwa Mkurugenzi Mkuu katika Benki ya Dunia kwa miaka mitatu, kabla ya kushindana katika kinyang'anyiro kuwa Rais wa benki hiyo.


Fatou Bensouda, Mwendesha Mkuu wa Mashtaka katika Mahakama ya kimataifa ya jinai, ICC. Bensouda mwenye umri wa miaka 51, aliteuliwa katika wadhifa huo mwezi Juni mwaka huu na kuchukua nafasi ya Luis Moreno-Ocampo kutoka Argentina. Kabla ya hapo Bensouda alikuwa naibu mwendesha mkuu wa mashtaka tangu mwaka 2004.


Chanzo - BBC Swahili

AUNTY EZEKIEL ; NGOZI NA KAZI YANGU VINANIPA DILI


MSANII na mtayarishaji wa filamu za Swahiliwood, Aunty Ezekiel, amesema kuwa matokeo ya kuilinda ngozi yake kwa kutotumia ovyo vipodozi, yamekuwa na faida kubwa kwake.

Anasema kwa umakini huo, ngozi yake ina mwonekano wa kuvutia hivyo kumpa nafasi kubwa ya kupata kazi katika tasnia hiyo.

"Katika maisha yangu, ngozi ina thamani kubwa. Huwa nailinda isidhurike na kemikali, vipodozi vyangu ni vya kawaida kabisa," alisema baada ya kuchaguliwa kuwa balozi wa ZUKU.

"Situmii kemikali kabisa na sina gharama kama wengine, najivunia mwonekano wangu wenye kuvutia pamoja na kuwa na uwezo wa kuigiza, ndiyo maana nawashika wapenzi wa filamu.
"
Msanii huyo pamoja na Jacob Stephen walichaguliwa kuwa mabalozi wa Zuku Swahili Movie inayotarajia kuzinduliwa mwezi ujao.

Kwa ubalozi huo, wanatarajiwa kupata mikataba ya matangazo itakayohusu bidhaa za kampuni hiyo pia kushiriki katika kampeni mbalimbali za filamu

ALIYEFANYA MAUAJI YA FAMILIA YA MWANAMUZIKI JENNIFER HUDSON,AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.

Mwaka 2008 ulikuwa mgumu kwa mwanamuziki wa nchini Marekani Jennifer Hudson.Tarehe 24 october alipoteza kaka yake,mama yake na mpwa wake ambao waliuwawa kwa kupigwa risasi.
Mtuhumiwa wa mauaji hayo ambae juzi alihukumiwa kifungo cha maisha anaitwa  William Belfour.Mtuhumiwa aliwahi kumuoa dada wa Jennifer anaeitwa Julia lakini walitengana kwa kutokuwa na maelewano mazuri.Katika ugomvi huo alimwambia ukiniacha mimi nitaiua familia yako yote halafu mwishoni nitakuua na wewe.
Mama wa mtuhumiwa akilia kwa uchungu baada ya mwanae kuhukumiwa kifungo cha maisha.
Jennifer akiwa na mama yake katikati ambae aliuwawa wakati dada mtu Julia mwenye nguo nyeupe akiwa ameondoka nyumbani kwenda kazini.Aliingia nyumbani na kumpiga risasi mama yao kwa nyuma mgongoni.
Na Kaka yake Jason Hudson aliuwawa kwa kupigwa  risasi  kichwani akiwa amelala kitandani.
Akaondoka na mtoto wa Julia anayeonekana pichani ambae mwili wake ulikuja kuonekana baada ya msako wa siku tatu.Alikutwa kwenye gari iliyotelekezwa akiwa amepigwa risasi kadhaaa kichwani.
Nyumba ya familia yake ikiwa imewekwa maua,misalaba na picha kama sehemu ya kumbukumbu ya mauaji ya familia hiyo.

Wednesday, July 25, 2012

Wow! Photo of the first time jayz saw Beyonce surfaces!!!


Can you recall the first time you met your hubby/lover/wife?Was it at a club,church or online?I bet you remember.
But how many of us actually captured that first moment when the whole world stopped and you said "He/she is the one" before your eyes opened and you realized "this person ain't that hot", or he/she has a big nose.lol

Well, if we are to believe Mediatakeout, this is the first time Jayz laid his eyes on Beyonce(1999) and he was so smitten.Look at them then and compare now.
Its so fulfilling to grow with your partner

HAYA NDO MANENO YA MSANII 'DIAMOND PLATNUMZ' KUHUSU BABA YAKE!!!


Baada ya stori kuandikwa kwenye magazeti kwamba Staa Diamond Platnumz anadaiwa kumtelekeza baba yake na hamjali wala hataki kusikia stori zake, hii ndio kauli ya Diamond kuhusu hiyo ishu.

Amesema “kiukweli ni vitu ambavyo mimi vimenishangaza sana kwa sababu sijui chochote nakuja kukuta tu kwenye magazeti, na nisingependa nisikie swala la mzazi wangu kusema mimi ni mtoto wake sijui nini na nini kwamba mimi nafanya starehe sihusiki na yeye sio kauli nzuri kiukweli, ina maana ananijua kwamba mimi ni mwanae baada ya kuwa DIAMOND”

Kwenye line nyingine Diamond amesema “siku zote kama alijua mimi ni mtoto wake basi angenisomesha na kunipa elimu nzuri lakini siku zote nilihangaika na Mama yangu mzazi akanikuza na kunisomesha kwa shida na tabu zote mpaka leo nimekua hivi, nisingependa kumsikia mtu yeyote anaongea kwamba mimi ni mtoto wake au yeye ni nani kwa sababu siku zote hawakuonekana, wasitake kuonekana kipindi cha Maslahi mtu ndio anajifanya anahusika sana na mimi kama mtoto wake”

“Haya mambo nilianza kuyasema toka natoa single ya binaadam sikujua hata kama leo ningekuja kuwa na Prado, makazi au kuwa na haya mafanikio mengine, baba yangu ataendelea kuwa baba yangu tu ila siwezi kumpa kipaumbele kama ninachompa mama yangu kwa sababu kama angetaka hilo angenijali toka mapema” – DIAMOND.

Kwa kumalizia, Diamond ambae mpaka sasa ametumia zaidi ya milioni 69 kujenga Nyumba yake Tegeta Dar es salaam amesema “mimi nilikua napenda kusoma na nilikua nafanya vizuri kwenye masomo yangu lakini sikua na uwezo wa kifedha kuendelea kusoma, mzazi wangu alikua na pesa ina maana angenijua mimi angenisomesha leo ningekuja kuwa hata mbunge au hata waziri kwa sababu mi najua nina upeo mkubwa sana wa kielimu na vitu vingine, sasa nimesota na muziki alafu leo ndio wanajitokeza, 
 SITAKI WANIACHE NA MAMA YANGU MZAZI”