Wednesday, June 20, 2012

BIBI BOMBA WATINGA NDANI YA MAISHA CLUB NA KUACHA GUMZO KWA WAGENI WAALIKWA


Bibi Bomba ni show iliyoanza hivi karibuni na baada ya kuwatafuta mabibi hao wamewekwa wote kwanye jumba la pamoja na mwisho wa shindano atachaguliwa bibi mmoja mkali na aliye Bomba kuwazidi wenzake. Pichani ni msanii wa Bongo Fleva Bob Junior aliwatembelea mabibi hao.

Babuu wa Kitaa ndio Host wa kipindi hicho cha Bibi Bomba kinachorushwa na Clouds TV pichani akiwa anacheza mziki na mabibi hao.

Ben Kinyaiya alikuwepo na alifungua shampen kwa mabibi zetu hao

Hapa bwana hakuna mtu aliamini kama mabibi hao wanajua kuimba vizuri hadi wengine kutumbua mijicho kama ndugu yangu Ben pale hahahaa

posted in: Bongo star link

No comments:

Post a Comment