Friday, September 7, 2012

MTANGAZAJI WA CLOUDS MEDIA GROUP BI SOPHIA KESSY AULA NAFASI YA UWAKILISHI UWT WILAYA YA MOSHI VIJIJINI...!!!

 
 
Mtangazaji mahiri wa kituo cha Radio na TV Clouds Media group cha jijini dare es saalam Bi Sophia Kessy .
---
UCHAGUZI WA JUMUIYA ZA CCM
Moshi (v) chaguzi zilianza rasmi tarehe 3/09 /2012 - 4/09/20121. Uvccm ulfanyika terehe 29/08/2012 mwenyekiti wake aliechaguliw ani Gulaton Masiga.2. Wazazi tarehe 03/09/2012 mwenyekiti wake ni sterwat lyatuu.3. UWT tarehe 04/09/2012 mwenyekiti wake ni Grace mzava

Aidha viongozi na wajumbe mbali mbali walichaguliwa na kupatikana chini ya uongozi wa chama wilaya ya moshi (V) Innocent Nzaba ni katibu wa ccm wilaya na mlezi wa jumuiya Gabriel Massenga ni mwenyekiti wa ccm wilaya,ambapo pia katika uchaguzi huo mtangazaji mahiri wa kituo cha Radio na TV Clouds Media group cha jijini dare es saalam Bi Sophia Kessy nae alijitosa katika uchaguzi huo kuwania nafasi ya uwakilishi wa UWT kwenda vijana wilaya na kuibuka mshindi kwa kura 415 dhidi ya kura zilizopigwa 416 ambapo kura 1tu iliharibika .
 
Bi Sophia kessy amesema kuwa kwa sasa ni hatua ndogo kati ya zile kubwa ambazo amepanga kujitosa na kuwania ambapo matarajio yake ya baadae ni kuwa kiogozi wa ngazi ya juu zaidi

No comments:

Post a Comment