Wednesday, April 4, 2012

Hizi theory ni appicable ??Je, kuna ukweli juu ya kanuni hizi?


LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha
unakwenda mbio zaidi.
------------------------------​------------------------

LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo busy
------------------------------​-------------------

LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza
kuwasha ili uikune
------------------------------​------------------

LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari
lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli
------------------------------​----------------------

BATH THEOREM:
Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita
------------------------------​-------------------------

LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka
unapokuwa
na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
------------------------------​----------------------

LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako
imeharibika ukiwasha itafanya kazi
------------------------------​----------------------

LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale
ambapo huwezi kujikuna
------------------------------​------------------------------​--------

LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi
atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe

No comments:

Post a Comment